Skip to main content

Posts

Showing posts from June, 2022

Jinsi ya kuepukana na maambukizi ya UTI

Vitu vya kuepuka Kwa mwenye tatizo la UTI 1. Epuka na ukabiliane na visababishi vya UTI 2. Epuka matumizi ya tissue paper 3. Imarisha kinga ya mwili wako 4. Hakikisha una uzito uliostahiki 5. Tumia vyakula vyenye asili ya vitamin C kama vile ndimu, machungwa na kadhalika 6. Epuka matumizi ya dawa za kupanga uzazi kama vile condom, shindano n.k 7. Jitibu matatizo ya Hormonal imbalance 8. Zingatia usafi wa mwili wako na usafi wa mazingira unayoishi 9. Epuka matumizi ya vyoo vya umma 10. Epuka kuanika chupi zako kwenye bafu au ndani ya nyumba, zianike kwenye jua kabla ya kuzivaa 11. Kunywa maji mengi angalau glass nane Kwa siku 12. Kunywa maji mengi kabla ya kushiriki tendo la ndoa 13. Kuwa na mazoea ya kukojoa kila baada ya kushiriki tendo la ndoa 14. Epuka Kuwa na wapenzi wengi 15. Epuka matumizi ya mihadarati Kama vile pombe, sigara n.k 16 Epuka kuketi sehemu Moja Kwa mda mrefu 17. Fanya mazoezi ya kutosha kama vile kutembea, kukimbia, kuruka kamba n.k 18. Ikiwa unapata Choo kigumu h...

Dalili za ugonjwa wa UTI

 Dalili za UTI zinaweza jificha! Jee, unajua ukiwa na dalili hizi unaweza ukawa na changamoto gani ya Kiafya?.... 1. Kukojoa Mkojo wenye rangi isiyokuwa ya kawaida... 2. Kukojoa Mkojo wenye harufu mbaya... 3. Kuhisi Maumivu Makali sana Wakati wa haja ndogo... 4. Kutokwa na usaha sehemu za siri.... 5. Kujikuna kuna sehemu za siri kila mara... 6. Kupata maumivu Makali sana ya Tumbo chini ya kitovu... 7. Kupata maumivu Makali sana ya mgongo na kiuno.... 8. Kuhisi Maumivu Makali sana Wakati wa tendo la ndoa.... Kama Una dalili hizi jua ni ishara wazi ya Kuwa na UTI..... Endapo ulishapata matibabu sehemu mbali mbali na hakuna dalili yoyote ya kupona au tatizo hili limekuwa likijirudia mara Kwa mara, Tuna tiba mbadala ambayo imesaidia watu wengi Sana Afrika Mashariki na inaweza kukusaidia na wewe kumaliza tatizo la UTI ambalo inaezekana limekuwa Sugu kwako... Usichelewe kuwasiliana Nasi maana UTI iliyokomaa hupelekea Ugumba wa kudumu au matatizo ya Figo.... Wasiliana nasi kwa WhatsApp au...